
Vidonda vya mdomoni ( Mouth ulcers) huweza kupelekea muhusika kushindwa kufurahia chakula anachokula au hata maongezi nk
Vidonda vya mdomoni huweza kuwa vikubwa au vidogo kulingana na sababu zilizopelekea kidonda hicho , kwa kawaida vidonda hivi hupona kati ya siku 7 hadi 14 . Lakini endapo ni vikubwa huweza kuchukua muda mrefu kupona๐ค Je , SABABU ZINAZOPELEKEA VIDONDA VYA MDOMONI NI ZIPI?
๐บ Majeraha wakati wa kusafisha kinywa na majeraha mengine kama yanayosababishwa na ajali au wakati wa kupata huduma za kinywa kwa madaktari wa meno
.
๐บ Vyakula na asidi iliyomo , mfano Matunda kama limao nk yenye asidi nyingi huweza pia kusababisha vidonda
.
๐บ Ukosefu wa vitamin B-12, zinc , folate au Iron
.
๐บ Mabadiliko ya homoni kipindi cha hedhi
.
๐บ Mzio dhidi ya bacteria wa kinywa
.
๐บ Matumizi ya braces
.
๐บ Msongo wa mawazo na ukosefu wa usingizi
.
๐บ Maambukizi ya bacteria, fungi na virusi
๐ค PIA VIDONDA VYA MDOMONI HUWEZA KUTUELEZA MATATIZO MAKUBWA YANAYOHITAJI MATIBABU YA HARAKA KAMA VILE ;
โ Celiac disease ( Hutokea baada ya mzio wa kinga ya mwili dhidi ya Gluten , kisha villi huathiriwa au kuharibiwa , kiufupi ni tatizo katika mfumo wa chakula , kisha sehemu zingine za mwili pia huathiriwa)
.
โ Inflammatory bowel disease
.
โ Behcets disease
.
โ Kisukari
.
โ Ukimwi
.
โ Kinga ya mwili inaposhambulia seli katika tishu mbalimbali badala ya kushambulia bacteria , au virusi
๐ค HIZI NI NJIA BAADHI YA KUTIBU TATIZO HILI LA VIDONDA VYA MDOMONI ;
โ Sukutua kwa maji ya chumvi au baking soda
.
โ Kuweka (Milk of magnesia ) katika vidonda - Utazipata pharmacy
.
โ Kutumia bonzocaine - Mfamasia atakuelekeza
.
โ Tumia virutubisho vyenye vit B-12 , B-6 , iron, zinc, folic acid
๐ค Zingatia ya fuatayo kuepuka tatizo ;
โ Sukutua kwa maji ya chumvi au baking soda
.
โ Kuweka (Milk of magnesia ) katika vidonda - Utazipata pharmacy
.
โ Kutumia bonzocaine - Mfamasia atakuelekeza
.
โ Tumia virutubisho vyenye vit B-12 , B-6 , iron, zinc, folic acid
๐ค Zingatia ya fuatayo kuepuka tatizo ;
๐บ Kama tatizo lilitokana na kutumia sana vyakula au matunda yenye asidi nyingi basi punguza matumizi yake
.
๐บ Zingatia usafi wa kinywa kila siku
.
๐บ Kula mlo kamili
.
๐บ Pata usingizi wa kutosha
.
๐บ punguza stress
๐ค USHAURI ; Ikiwa vidonda ni vikubwa na unapata maumivu sana , zipo dawa za kupunguza maumivu . Ikiwa una bacterial au viral infection Onana na daktari uanze matibabu , dawa zipo
USIKAE MDA MREFU NA HIVO VIDONDA , MAANA BAADAE ITAKUA NGUMU SANA KUTIBIKA , NA VINAWEZA SABABISHA CANCER , KUNA WATU WANAKAA NA HIVYO VIDONDA KWA MIAKA , NI HATARI
Mimi Nina kinyama mdomoni haliumi Ila kipo MDA mrefu n Kama kiuvimbe tu sijielewi nifanyaj?
ReplyDeleteThe best herpes remedy, email [robinsonbucler@] gmail com
ReplyDelete