Search This Blog

Wednesday 24 May 2017

5 Healthy ‘Shots’ To Alkalize Your Body in the Morning


In the morning, we feel a little, well … less than stellar. Achy, stiff, the bed is calling our name to stay in, and let’s be honest, we just don’t feel so hot

9 Alkaline Foods That Fight Cancer, Pain, Gout, Diabetes and Heart Disease




Trying to go alkaline? It’s easier when you know which foods help your body stay get to and stay in an alkaline state.

JE WAJUWA KUWA RANGI YA MKOJO WAKO INA MAANA GANI?

Image result for urine colour
1. Mweupe kabisa (Usio na Rangi):
Unakunywa maji mengi kupita kiasi. Ikiwezekana unashauriwa upunguze kidogo

ULAJI WA MARA KWA MARA WA MBEGU ZA MABOGA HUKUKINGA NA KUKUEPUSHA NA MAGONJWA 1O MWILINI MWAKO...

Image result for maboga
ULAJI wa maboga ni muhimu lakini ni Watanzania wachache wanaojua faida ya boga na mbegu zake. Mbegu za maboga zimesheheni protini na madini kadhaa kama vile chuma, kopa, maginizia, manganizi na zinki, mbegu za maboga zinakuwa mbegu
bora na muhimu kutafuna kila wakati baada ya kuzikaanga au zikiwa mbichi au kama zimepikwa na boga lenyewe kwani imethibitika pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida lukuki kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa hatari zaidi ya 10

Dawa Za Aina 20 Zinazoweza Kukusababisha Uwe Na upungufu wa Kumbukumbu

Image result for medicine


Asilimia kubwa ya vifo hasa kwa nchi zilizoendelea ni matokeo mabaya ya matumizi ya madawa. Dawa zinasababisha vifo vya watu zaidi ya 100,000 kwa mwaka, na zaidi ya watu milion 1.5
wamepata matatizo mengine zaidi baada ya kutumia dawa.

NAMNA YA KUCHA ZINAVYOWEZA KUTAFSIRI AFYA YA MWILI WAKO

Image result for nail
Mikono, viganja na vidole ni kati ya sehemu muhimu katika mwili wa mwanamke. Mikono hutumika kujiremba pamoja na majukumu mengine mengi. Mikono isipotunzwa vizuri ni rahisi sana kuharibika, kupoteza mvuto wake wa asili na kuharibu afya ya kucha.

MAMBO AMBAYO HUWEZA KUMTOKEA MWANAMKE MWANZONI MWA KIPINDI CHA UJAUZITO

Image result for pregnant woman Wanawake wengi hukabiliwa na mabadiliko mbalimbali ya kimwili na kisaikolojia pale wanaposhika ujauzito.
Mabadiliko hayo hutokana na homoni za uzazi kuzalishwa kwa wingi zaidi. Miongoni mwa mabadiliko hayo katika kipindi hiki cha

Wednesday 17 May 2017

MENO YAWE MEUPE NA MUONEKANO BOMBA


Meno ni kiungo cha ajabu sana ambapo kinapokua na muonekano mzuri hukufanya uwe na furaha na tabasamu zito mbele ya wenziwako. Na kinyume chake mtu hukosa kujiamini mbele za watu na tabasamu la dhati hutoweka. Hivyo nimeona ipo haja ya kukuainishia kwa mukhtasari njia anuai za Kung'arisha meno yako na kukufanya ujiamini katika mazungumzo.

[​IMG]


Meno kuwa ya manjano(discolouration) huchangiwa kwa kiasi kikubwa na aina ya vyakula tulavyo, matumizi Ya vinywaji vya viwandani ambavyo huaribu kabisa meno yako. Lakini pia namna ya kupiga mswaki huchangia hilo, hivyo ni vema kuzingatia kanuni sahihi za upigaji wa mswaki.