Search This Blog

Friday 16 October 2020

๐“๐€๐“๐ˆ๐™๐Ž ๐‹๐€ ๐Š๐”๐“๐Ž๐Š๐–๐€ ๐ƒ๐€๐Œ๐” ๐๐”๐€๐๐ˆ (๐‚๐ก๐š๐ง๐ณ๐จ, ๐Œ๐š๐๐ก๐š๐ซ๐š ๐ง๐š ๐“๐ข๐›๐š)

Swala la damu kutoka puani ni la kawaida (Hutokea kwa watu wengi mara kwa mara hasa utotoni. Inaweza kukutisha lakini ni mara chache sana ikaonesha tatizo la kutisha /Kubwa

Pua huwa na mishipa mingi sana ya damu ambayo ipo nje nje sana hasa maeneo ya mwanzoni mwa pua na mwishoni ( Ndani ya pua)
Mishipa hii ni mirahisi sana kupasuka tena kwa haraka. Hali hii huwatokea zaidi watoto kati ya umri wa miaka 3 hadi 10

๐Š๐–๐€๐๐ˆ๐๐ˆ ๐”๐“๐ˆ (๐”๐ซ๐ข๐ง๐š๐ซ๐ฒ ๐“๐ซ๐š๐œ๐ญ ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐ž๐œ๐ญ๐ข๐จ๐ง) ๐‡๐”๐–๐€๐๐€๐“๐€ ๐™๐€๐ˆ๐ƒ๐ˆ ๐–๐€๐‰๐€๐–๐€๐™๐ˆ๐“๐Ž ?

Kwa upande mwingine ujauzito ni kipindi kizuri sana kwa mwanamke yeyote yule , nina maana kwamba hakuna mwanamke anayetarajia kupata mtoto na asifurahie kuwa mjamzito , maana ujauzito ni njia ya kupata mtoto . Ila sasa pamoja na hayo yote kuna changamoto zake

Tukumbuke mwanamke anapokua mjamzito hata kinga yake ya mwili inakua chini , kwahiyo anakua rahisi sana kupata maambukizi mbalimbali

๐‘บ๐‘จ๐‘น๐‘จ๐‘ป๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘ผ๐‘ฒ๐‘ฌ (๐‘ช๐’‰๐’‚๐’๐’›๐’ , ๐‘ซ๐’‚๐’๐’Š๐’๐’Š, ๐‘ด๐’‚๐’…๐’‰๐’‚๐’“๐’‚ ๐’๐’‚ ๐‘ป๐’Š๐’ƒ๐’‚)


 Saratani ya Uke hutokea mara chache sana kuliko saratani zingine. Huwa asilimia 1 tu kati ya saratani zote ambazo hutokea katika mfumo wa uzazi wa mwanamke

Kuna aina tatu za Saratani ya kizazi :

๐”๐•๐ˆ๐Œ๐๐„ ๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐Š๐ˆ๐™๐€๐™๐ˆ (๐’๐š๐›๐š๐›๐ฎ, ๐ƒ๐š๐ฅ๐š๐ฅ๐ข, ๐Œ๐š๐๐ก๐š๐ซ๐š ๐ง๐š ๐“๐ข๐›๐š )

 UVIMBE KWENYE KIZAZI (Uterine Fibroids)

Fibroids ni uvimbe wa misuli laini wenye mizizi ya kuiunganisha unaoota na kukua kwenye mfuko wa uzazi ( uterus ) . Majina mengine ya uvimbe huu ni uterine fibroids, myomas, au fibromyomas. Fibroids ni aina ya uvimbe unaoonekana kwa wingi zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke.